PlaneteAfrique
Déconnexion


DC Nachingwea awataka wazazi kuchangia elimu

DC Nachingwea awataka wazazi kuchangia elimu

Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Regina Chonjo  amewataka wazazi wilayani humo kuchangia elimu ya watoto wao kwa kuwalipia ada, kununua sare za shule na kufuatilia kwa karibu maendeleo ya masomo yao.



Chonjo  amesema hayo kwenye mahafali ya pili ya shule ya awali ya Kanisa la Mtakatifu Joseph Parokia ya Nachingwea na kuongeza kuwa ukimsomesha mtoto wa kike ni kufungua ukurasa mpya wa maendeleo katika nchi.



Kwa upande wake Paroko wa Kanisa hilo, Fabian Ng’ombo amesema shule hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukosefu wa miundombinu.



Martina Ngulumbi, TBC Lindi.




Last Updated ( Thursday, 13 December 2012 11:36 )


 

TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

TANZANIE - accès rapides

Newsletter


 
 
 
 
 
Nouveau

WS-Webzine

Publiez vos actualités et articles en ligne facilement.

  • Éditeur intuitif
  • Référencement optimisé
Découvrir →
Tanzanie - Actualites