PlaneteAfrique
Déconnexion


Polisi Tabora yasaka wapuuza usalama barabarani

 Polisi Tabora yasaka wapuuza usalama barabarani

Kutokana na ongezeko la ajali za barabarani zinazosababishwa na Wapanda baiskeli na Waendesha Pikipiki, Polisi mkoani Tabora imeanza oparesheni maalum ya kuwakamata watu wote wanaokiuka sheria za usalama barabarani.



Oparesheni hiyo inaenda sambamba na kutoa elimu ya sheria za usalama barabarani kwa Wapanda baiskeli, Waendesha Pikipiki na magari kwa lengo la kupunguza ajali za barabarani zinazosababisha vifo, ulemavu na uharibifu wa mali.



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna msaidizi Peter Ouma amesema zoezi hilo ni endelevu mpaka hapo watakapojiridhisha kuwa hali ni shwari.



Nico Mwaibale, TBC Tabora.




Last Updated ( Friday, 21 June 2013 09:23 )


 


TANZANIE - accès rapides

Actualités par pays

 

Newsletter


 
 
 
 
 
 

Actualités par pays

TANZANIE - accès rapides

Newsletter


 
 
 
 
 
Le + demandé

WS-MySite!

Votre site pro en ligne, sans compétence technique.

  • Créez & gérez vous-même
  • Hébergement inclus
Découvrir →
Tanzanie - Actualites