Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro amesema licha ya wadau mbalimbali kuendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali kumaliza tatizo la uhaba wa vitabu katika shule za msingi na sekondari, bado kiwango cha ufundishaji kinadaiwa kushuka mkoani humo.
Akitoa rasmi ripoti maalum ya utafiti uliofanywa na Idara ya elimu mkoani humo katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya jiji la Mbeya kwamba uhaba wa vitabu halijawa tatizo mkoani humo kwa sasa, badala yake kiwango cha ufundishaji kwa walimu ndo limekuwa ni tatizo kubwa ambalo linatafutiwa ufumbuzi.
Kampuni ya Ununuzi wa Kokoa ya Bioland imetoa msaada wa vitabu vya kiada kwa wanafunzi wa shule kadhaa wilayani Kyela na Rungwe ikiwa ni jitihada za kuunga mkono kupunguza ama kumaliza kabisa tatizo la uhaba wa vitabu shuleni.
Hosea Cheyo, TBC Mbeya.
Last Updated ( Monday, 24 December 2012 13:16 )
Investors demand Bunge team sacking
Walmart shuts 269 stores worldwide – In2EastAfrica - East African news, Headlines, Business, Tourism, Sports, Health, Entertainment, Education
Incredible New York City penthouse has four-story stainless steel SLIDE… and the owners don’t even have kids
Fukushima radioactive water leak an ‘emergency’
Prince Harry returns to Afghanistan to Fly Apache Copters
Investors demand Bunge team sacking
Walmart shuts 269 stores worldwide – In2EastAfrica - East African news, Headlines, Business, Tourism, Sports, Health, Entertainment, Education
Incredible New York City penthouse has four-story stainless steel SLIDE… and the owners don’t even have kids
Fukushima radioactive water leak an ‘emergency’
Prince Harry returns to Afghanistan to Fly Apache Copters
Tanzanie
-
Actualites
Kiwango cha ufundishaji kikwazo kiwango cha ufaulu wanafunzi Mbeya
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro amesema licha ya wadau mbalimbali kuendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na serikali kumaliza tatizo la uhaba wa vitabu katika shule za msingi na sekondari, bado kiwango cha ufundishaji kinadaiwa kushuka mkoani humo.
Akitoa rasmi ripoti maalum ya utafiti uliofanywa na Idara ya elimu mkoani humo katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya jiji la Mbeya kwamba uhaba wa vitabu halijawa tatizo mkoani humo kwa sasa, badala yake kiwango cha ufundishaji kwa walimu ndo limekuwa ni tatizo kubwa ambalo linatafutiwa ufumbuzi.
Kampuni ya Ununuzi wa Kokoa ya Bioland imetoa msaada wa vitabu vya kiada kwa wanafunzi wa shule kadhaa wilayani Kyela na Rungwe ikiwa ni jitihada za kuunga mkono kupunguza ama kumaliza kabisa tatizo la uhaba wa vitabu shuleni.
Hosea Cheyo, TBC Mbeya.
Last Updated ( Monday, 24 December 2012 13:16 )
TANZANIE - accès rapides
Les articles les plus lus
Ong & Associations
Actualités par pays
Actualités par pays
TANZANIE - accès rapides
Les articles les plus lus
Ong & Associations
WS-MYSITE
✨ Présence web
Créez votre site clé en main
Démarrer →